Friday, May 23 2025

Header Ads

JUSTIN BIEBER KUN'GARA NA ULBUM MPYA YA "Believe"

http://www.aceshowbiz.com/images/wennpic/justin-bieber-2011-teen-choice-awards-05.jpg Justin Bieber kijana mdogo anaye konga nyoyo za watu, amefunguka mapema katika kituo cha MTV pamoja na Meneja wake "Scooter Braun's" kuwa, album yake mpya baada ya hii ambayo baadhi ya nyimbo zake ziko sokoni aliyomshirikisha "Usher Raymond" "Christmas Album",  itadondoka sokoni hivi karibuni na  itakwenda kwa jina la "BELIEVE".

Kwa mujibu wa muimbaji huyo kutoka Canada Justin Bieber amedai kuwa album hiyo ya "Believe"   huenda ikawa kali sana kama ile ya Justi Timberlake "Futuresex/Love sound" kufuatia vionjo flani anavyotegemea kuvitumia huku akiwashirikisha wasanii wengi kama wakali wa kurap Drake na Kanye West.


Hata hivyo habari za mtaani kwao zimedai kuwa Star huyu mdogo hakujisikia  kumshirikisha Kanye West kwasababu anahofia atamchafulia heshima yake kwa sababu yeye ni kijana mstaarabu na mpole.
Napia kwa upande wa "Drake" obvious nimsanii mwenzie kutoka Canada hiyo wamekuwa wakikutana mara kwa mara na kujadili mipango mizuri ya kufanya kazi kwa pamoja, kwa mfano single mpya ya Drake na Bieber  "Trust Issues".So album hiyo ya Believe itaachiliwa mapema 2012.

                                                                    Justin Bieber
 
                        Selena Gomez akiperform nchini Canada

 
                        Justin Bieber na girlfrend wake Selena Gomez wakati wakiwa katika mtoko wa shoping kiaina.
 
                                   Cute!! Selena Gomez 

http://www.aceshowbiz.com/images/wennpic/gomez-bieber-premiere-abduction-02.jpg
Selena Gomez na Justin Bieber kwa nyuma flani hivi, hivi juzi kati wamekuwa wazazi wa mbwa wao mpya anayeitwa "Baylor" walio muadapt na kudai kuwa mbwa huyo alipelekwa katika kituo cha "D' Arcy's Animal Rescue Centre" akiwa na maisha magumu, lakini sasa ataishi maisha mazuri.Gomez anamiriki mbwa 6 a.k.a puppy's

 
                                 Fame!! Baby Selena Gomez







Leave a Comment

Powered by Blogger.