Header Ads

Breaking News
recent

Picha mpya za Msanii Alicia Keys

 Alicia Augello Cook maarufu kwa jina la kisanii kama Alicia Keys, ni msanii mwenye mafanikio katika muziki, huku akiwa mahiri katika miondoko ya R&B, Soul, Jazz na hip hop.
Alicia alianza kutamba miaka ya 1996, na ameolewa na msanii na producer mahiri Swizz Beatz na kufanikiwa kupata watoto wawili.
 Alicia alizaliwa January 25, 1981 na kwa sasa ana miaka 36, bado anafanya vizuri katika muziki. Nimpigaji mzuri wa piano na anasauti ya kipekee.
PAKUA NYIMBO ZILIZOTOKA WIKI HII>>>DOWNLOAD
SUBSCRIBE YouTube account yetu upate video zaidi.

Kupata Update kibao, like Facebook account yetu.
Twitter Account yetu>>>Asili Yetu Tanzania

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.