Header Ads

Breaking News
recent

"STEVEN KANUMBA DAY" - JUMAPILI HII NI SIKU YA KUMBU KUMBU YA KUTIMIZA MWAKA MMOJA TOKEA STEVEN KANUMBA AFARIKI.

Jumapili ya tarehe saba itakuwa ni mwaka toka mwigizaji Steven Kanumba afariki.Familia yake na wasanii wenzie wameandaa siku hiyo kwa kuiita Kanumba day ambapo watakutana kanisani kwa misa kanisa la kilutheri huko kimara, chakula cha mchana.Pamoja na chakula hicho wataenda makaburini kuzuru.
 
Jioni pale leades itaonyeshwa filamu yake ya mwisho aliyoigiza kabla hajafariki.Wapezi,wadau wote mnaweza kujitokeza kwani ni bure.
 
 
 

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.