Header Ads

Breaking News
recent

FASTJET ILISHEREHEKEA KUTIMIZA WASAFIRI 75,000 "VERONICA CHUWA" ALIPATA BAHATI HIYO.

Veronica Chuwa akionekana pichani na mmoja wa wafanyakazi wa Fastjet nchini.
Kampuni ya usafiri wa anga nchini "Fastjet" hivi karibuni ilimtunuku mteja wao wa 75,000 Mrs Veronica Chuwa kutoka Mwanza, zawadi mbali mbali zikiwemo tiketi mbili za kusafiri kokote nchini baada ya kampuni hiyo kutimiza abilia wake 75,000 tokea kuanzishwa kwa kampuni hiyo mwezi Novemba 2012.


Mshindi wa Fastjet Veronica Chuwa
Veronica Chuwa akiwa ndani ya ndege na mmoja wa marubani wa Fastjet
Tumu ya Fastjet kwa pamoja wakiwa na mshindi wao wa 75,000 Veronika Chuwa kutoka Mwanza.

Hongereni Fastjet kwa huduma nzuri ya usafiri wa anga na wa bei rahisi mnayowapatia abilia wa nchi hii.

Source: Fastjet

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.