Header Ads

Breaking News
recent

New Bounce Track - (NIAMBIE) B-Man ft. KC & Narx.

B-MAN
B-man anayejulikana vema kwa collabo ya "hello" aliofanya na Matonya round hii anakuja na "Niambie" ikiwa ni bounce track toka noizmekah.com kwa defxtro.

 Katika ngoma hii amemshirikisha KC toka FBG & Narx ndani ya bounce hilo, support kwa kudownload HAPA ngoma shavu zaidi kwa wadau wote media na fans wa Bman,holla kupitia 0712555030 kwa mahojiano/bookings na Tshirts zangu mpya kibaooooo

1 comment:

  1. Bman ndo msanii kizazi kipya ambaye style ya track zake ya pita mipaka . Yaani yuajumuisha bongo na genge kutoa style ambaye twaweza ita....BONGE . Mashairi anayotunga yana uzito na beat inasisimua. Mambo baaaaaard beenie niko na Imani xana.
    Bob Njagi,
    NRB , KENYA.

    ReplyDelete

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.