Header Ads

Breaking News
recent

REDD'S MISS TANZANIA 2012 WAREMBO WATANGAZWA KUSHIRIKI.

Asili Yetu © All rights reserved

 Mratibu wa Shindano la Redd's Miss Ilala 2012,Gadner G. Habash akizungumza na waandishi wa Habari  kwenye ukumbi wa Nyumbani Lounge mchana huu wakati wa kutambulisha warembo watakaoshiriki kwenye fainali ya Redd's Miss Ilala 2012.Washindi watafanikiwa kuingia moja kwa moja kwenye fainali ya Redd's Miss Tanzania 2012.Wengine Pichani toka Kulia ni Mratibu Mwenza wa Shindano hilo,Juma Mabakila,Cylivia Mashuda na Neema Mbula ambao ni walimu wa warembo hao.



No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.