Header Ads

Breaking News
recent

ITV HABARI: Wamiliki wa vyombo vya utangazaji waomba analogia iruhusiwe kwa muda.

Wamiliki wa vituo vya utangazaji nchini wameomba kuruhusiwa kwa muda matumizi sanjari ya mfumo wa utangazaji wa analojia na digitali ili wananchi wasio na uwezo waendelee kupata habari kupitia luninga kama zamani.

CHANZO: ITV TANZANIA

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.