Header Ads

Breaking News
recent

BUNGE LIMELAZIMIKA KUSITISHA SHUGHULI ZAKE HADI KESHO - ITV HABARI.


Bunge limelazimika kusitisha shughuli zake hadi kesho kufuatia maamuzi ya bunge kuondoa hoja ya Mh John Mnyika juu ya uboreshaji upatikanaji wa maji safi na ushughulikiaji wa maji taka katika jiji la Dar es salaam ambapo kufuatia kitendo cha kuondolewa kwa hoja hiyo wabunge wa kambi ya upinzani hawakukubali na kusimama wote kwa pamoja na kuanza kuzomea na kuimba.

Source: ITV TANZANIA

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.