MSANII WA MAIGIZO YA VICHEKESHO 'KITALE' AMEFUNGA NDOA RASMI.
Msanii wa Filamu za kuchekesha hapa nchini maarufu kama
Kitale, juzi amesherehekea siku yake muhim, kwa kufunga ndoa na mpenzi wake,
ambae leo hii tunamuongelea kama mkewe, Bi Fatma Salum.
Ndoa hiyo ilifungwa majira ya Saa nane mchana maeneo ya
Mwananyamala jijini Dar es Salaam, na kuhudhuriwa na watu kibao wakiwemo
marafiki, ndugu na jamaa.
Kitale akitia sahihi
![]() |
| Kitale na mkewe |
Kitale akionyesha cheti cha ndoa.

No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA