Header Ads

Breaking News
recent

SERIKALI YAVUNJA BODI YA WAFANYABIASHARA WANAOAGIZA MAFUTA NA KUUNDA NYINGINE.

Asili Yetu Tanzania.Copyright

Serikali imevunja bodi ya wafanyabiashara wanaoagiza mafuta na kuunda bodi nyingine ambayo itakuwa na wawakilishi kutoka EWURA, wizara ya nishati, TRA na mamlaka ya bandari huku kampuni zilizopewa leseni na kukaa nazo bila kuagiza mafuta zikifungiwa kufanya biashara hapa nchini.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.