Header Ads

Breaking News
recent

PICHA ZA MAENEO MBALI MBALI YALIYOHARIBIWA NA KIMBUNGA SANDY NCHINI MAREKANI.

Asili Yetu Tanzania.Copyright

Haya ni baadhi ya madhara yaliyosababishwa na kimbunga SANDY huko nchini Marekani, wakazi wengi walazimika kuyahama makazi yao na kusafiri mbali na makazi yao.
Nyumba zilizotengenezwa kwa mbao zikiwa zimeng'olewa na kuharibiwa vibaya.


Wakazi hawa wakisubilia mafuta, huku kwa ripoti zilizopo, takribani watu milioni nane nchini Marekani hawana umeme baada ya kimbunga SANDY kuharibu mfumo mzima wa umeme.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.