Header Ads

Breaking News
recent

PICHA ZA NYUMBA MPYA YA MWANAMUZIKI BRITNEY SPEARS.

Hii ndio nyumba mpya ya msanii wa Pop Britney Spears alionunua mwisho wa mwezi wa kumi mwaka huu. Nyumba hio ipo mjini Los Angeles na Inathamani ya Dollar za Kimarekani Million 8.5 $.Kwenye nyumba hii amehamia na watoto wake wawili.Kwali kazi ya kuwa Judge wa mashindano ya kuimba X Factor inalipa sana. Fahamu kuwa mkataba wake na X Factor ni dollar Million 15$.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.