Header Ads

Breaking News
recent

NYOTA WA TAARAB "MARIAM HAMIS' 'PAKA MAPEPE' KUZIKWA LEO.

Baadhi ya waombolezaji walifika nyumbani kwa marehemu.

MWIMBAJI mahiri wa taarab nchini Mariam Hamis ambaye amefariki jana alfajiri katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili  kwa matatizo ya uzazi,  atazikwa leo saa kumi jioni katika makaburi ya Magomeni Fundikira.

Mariamu ambaye alitamba na wimbo wa Paka Mapepe ambao aliuimba akiwa katika bendi ya East African Melody mpaka umauti unamkuta, alikuwa mwanamuziki wa bendi ya TOT taarab ambayo alijiunga mwaka juzi akitokea katika bendi  ya Five Stars.
Chanzo:Global Publishers

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.