MAMA KANUMBA NA SETH, VILIO VINAENDELEA.
![]() |
|
Mama Mzazi wa Steven Kanumba, Flora Mtegoa akilia juu ya
kaburi la mwanae.
|
![]() |
|
Mama Kanumba na Seth wakilifanyia usafi kaburi la Kanumba.
|
![]() |
![]() |
.“Mimi sitaacha kumlilia mwanangu Kanumba jamani na siwezi
kumsahau maana kifo chake kilikuwa cha ghafla sana wakati tulikuwa tumepanga mambo mengi.
“Nina muda sijaja kuliona kaburi lake, tangu lilivyojengwa
upya sijafika ndiyo leo nakuja huku kwa ajili ya kuliona na kulifanyia usafi.
Maskini mwanangu, lala kwa amani baba,” alisema mama huyo huku akilia kwa
uchungu ambapo Seth naye alishindwa kujizuia.
Na Gladness Mallya
![]() |
Huu ndio ujumbe ulioandikwa katika kaburi la Steven Kanumba.
|
Mdogo wake Marehemu Kanumba, Seth Bosco akiweka shada la maua katika kaburi la
kaka yake.







No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA