VIONGOZI WA JUMUIA YA UAMSHO WARUDISHWA TENA RUMANDE.
Asili Yetu Tanzania.Copyright
|
Baadhi ya Askari wa kutuliza fujo wakiwa Mahakama kuu
Zanzibar Vuga kwa lengo la kutuliza amani Mahakamani hapo.
|
|
Kiongozi wa Jumuiya
ya UAMSHO Sheikh Farid Hadi Ahmed kushoto akiwa na wenzake sita walioletwa
Mahakama kuu Zanzibar Vuga wakiwa hawana ndevu na kufunguliwa mashtaka manne
mapya mahakamani hapo yakiwemo kuharibu mali za watu zenye thamani ya
Shl.Milioni 50 na kufanya vurugu za makusudi zakuhatarisha amani katika nchi.
HABARI NA Haki Ngowi
|
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA