Header Ads

Breaking News
recent

VIONGOZI WA UAMSHO WAFUNGULIWA KESI MPYA YA KUHATARISHA USALAMA WA TAIFA.

Asili Yetu Tanzania.Copyright


Kesi ya uchochezi inayowakabili viongozi wa jumuia ya Muamsho imechukua sura mpya baada ya viongozi hao kufunguliwa kesi mpya ya kuhatarisha usalama wa taifa na kujikuta wakirudishwa rumande tena huku mawakili wa watuhumiwa hao wakisusia kesi.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.