Asili Yetu © All rights reserved
 |
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Gavana Jenerali wa Canada Mhe. David Johnson
na mkewe Mama Sharon Johnson kuingia
jumba la Rideau jijini Ottawa, Canada, katika hatua yake ya kwanza
ya ziara rasmi ya siku mbili jijini humo
Jumatano Oktoba 4, 2012.
|
 |
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika viwanja vya
jumba la Rideau Hall jijini Ottawa, Canada, katika hatua yake ya kwanza ya kuanza ziara rasmi ya siku mbili jijini humo Jumatano Oktoba 3, 2012. Jumba hilo
ndilo makazi na ofisi rasmi ya Gavana
Jenerali wa Canada tangia mwaka 1867 ambapo pamoja na kuishi humo pia hapo
ndipo hutumika kwa kuwatunukia wananchi wa Canada waliofanya vyema, pa
kupokelea wageni mashuhuri wa nchi za nje na pia ndipo anapofanyia shughuli
zote za kitaifa akiwa kama mwakilishi wa Malkia wa Uingereza.
|
 |
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride rasmi katika
viwanja vya jumba la Rideau Hall jijini Ottawa, Canada, katika hatua yake ya
kwanza ya ziara rasmi ya siku mbili
jijini humo Jumatano Oktoba 3, 2012.
Jumba hilo ndilo makazi na ofisi rasmi
ya Gavana Jenerali wa Canada tangia mwaka 1867 ambapo pamoja na kuishi humo pia
hapo ndipo hutumika kwa kuwatunukia wananchi wa Canada waliofanya vyema, pa
kupokelea wageni mashuhuri wa nchi za nje na pia ndipo anapofanyia shughuli
zote za kitaifa akiwa kama mwakilishi wa Malkia wa Uingereza.
|
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA