Header Ads

Breaking News
recent

WASANII WA KUNDI LA MECCA CHEKA WAREJEA KUTOKA RAIROBI - KENYA.

Rizy na Mwirora wanaounda kundi la Mecca Cheka warudi toka Nairobi,Kenya baada ya kushiriki kikamilifu katika Pamoja Kids Concert iliofanyika Village Market Nairobi siku ya jumapili tarehe 30 September mwaka huu.
"Tunamshukuru Mungu tulisafiri salama,mwendo wa shuttle kikubwa  kabisa mpaka jiji la Kibaki mapokezi mazito toka kwa Sister Kakii ambaye ndiye mwenyeji  wetu, mapumziko ya kutosha katika apartments tulizotengewa ready for makamuzi ya hatari for fans wetu wa Nairobi kesho yake.
 Tumejifunza mengi, muziki wetu unakubalika kuliko maelezo na Mecca Cheka tumewakilisha vizuri pande za Kenya na shukrani tele ziende kwa washabiki zetu all over Arusha kutusupport hadi kutambulika nchi jirani ,Familia zetu,Producers wa ngoma zetu na Media house zote Zinazo support Mecca cheka movements.
Huu ni mwanzo tu wa safari yetu ya kimuziki watu wetu pande za Kenya wategemee show nyingine pande za Mombasa mwisho wa Mwaka huu kwa sasa tumerudi fit pande za hom tunajipanga kurecord pini mpya kadhaa pande za noizmekah studios.
pata nyimbo zetu hapa....  http://www.hulkshare.com/dl/zeeczxjuo5j4/Meccacheka-cheka%20ung%27atwe%20(noiz)?d=1

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.