Header Ads

Breaking News
recent

JUSTIN BIEBER AUGUA NA KUTAPIKA JUKWAANI MARA MBILI: ASILI YETU BLOG

Asili Yetu © All rights reserved

JUSTIN BIEBER.
Msanii wa miondoko ya pop Justin Bieber ambae amezoea kuwaachia homa mashabiki wake, sasa homa hiyo imemgeukia yeye mwenyewe. Bieber amejikuta akishindwa kutoa shoo kwa mashabiki wake baada ya kuugua stejini na kujitapikia mara mbili, sii mara ya kwanza kwa msanii huyu kukutwa na mkasa huu, lakini ni sehemu tu ya vyakula anavyokuwa amekula.

Bieber ambaye alikuwa akiangusha shoo yake ya kitaifa katika  45 cities "Believe" alijikuta katika wakati mugumu baada ya kuugua ghafla na kutapika stejini mara mbili.Hata hivyo Bieber alipoondoka stejini mashabiki wake waliendelea kuimba nyimbo zake.

Msanii huyo wa miondoko ya pop mara baada ya muda mfupi ali- tweet akiwapa uhakika mashabiki wake wa kuendelea na shoo yake. " "Great show. Getting better for tomorrow's show !!!! Love u",

Na baadae kidogo alidondosha ukweli wa mambo kuwa...... maziwa ndio tatizo la kutapika kwake....."And .... Milk was a bad choice!"
 Shoo yake ya 45 Cities "Believe" imeendelea.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.