BREAKING NEWS.........KIONGOZI WA JUMUIA YA UAMSHO ALIYETOWEKA BWANA AMIRI FARIDI APATIKANA.
Asili Yetu Tanzania.Copyright
Akizungumza kiongozi huyu "Amiri Faridi" mida hii, Asili Yetu Tanzania imenasa mazungumzo yake na radio one saa 5: 56 usiku kutoka Zanzibar, akidai kuwa alikamatwa na watu wa usalama na huko alikokuwa alikuwa akihojiwa na polisi. Kwa habari zaidi amesema atazitoa kesho yake.
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA