MAY C NA WIMBO MPYA "Ma Side" ft. JamStory.
Asili Yetu Tanzania.Copyright
Mwanadada May C aliyeimba rudgalz round hii anadrop ngoma
mpya iitwayo "Ma Side" akimshirikisha Mchiz toka mule mule aratown/
arachuga mzee mzima "JamStory"
aliyerap katika track hii, ikiwa ni single ya mahadhi ya RNB.
May C aka “May Chedda” ameweza kubadilika kiuimbaji kutokana
na beat hii aliyotengeneza Producer/Presenter SkyWizzy pande za DSM na vocal
zikiwa zimesmamiwa na Defxtro,"All ma fans nashurkuru kwa ukaribu na support mnayonipa katika kufanya music,Mungu
awape baraka tele nizidi kufanya vema katika Game!Watu wetu wa karibu
supportb kwa ku-download
hapa...Asante!!!!!

No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA