Header Ads

Breaking News
recent

AJALI - BASI LA DAR EXPRESS LA TEKETEA KWA MOTO SEGERA MKOANI TANGA: ASILI YETU BLOG.

Asili Yetu © All rights reserved

Basi la Da Express likiteketea kwa moto.
 Habari zilizotufikia muda mfupi uliopita zinasema watu 65 wamenusurika kufa eneo la Segera Mkoani Tanga baada ya basi la Dar Express lililokuwa likitokea Arusha kwenda Dar Es Salaam kuteketezwa na Moto.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.