Header Ads

Breaking News
recent

WATU WENGI MAARUFU HAPA TANZANIA WEMEPITIA MAMBO HAYA.

Asili Yetu © All rights reserved

Kwenda shuleni wakati mwingine bila viatu, kuwa na sale moja ya shule kwa wiki nzima, kukaa chini kwenye mavumbi darasani, kulundikana wanafunzi 100 katika darasa moja na kufundishwa na mwalimu mmoja.

Je, viongozi wetu tunasahau haya, kuwa mambo haya bado yanaendelea huko vijijini? Tuwasaidie wenzetu waliko bado katika vijijini.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.