Header Ads

Breaking News
recent

MWANDISHI WA CHANNEL 10 AFARIKI KATIKA VURUGU ZA KUZUIA KUFANYIKA MKUTANO WA CHADEMA MKOANI IRINGA.

Asili Yetu © All rights reserved



Mwandishi wa habari wa Channel ten mkoani Iringa Daudi Mwangosi amefariki dunia katika vurugu zilizojitokeza baada ya polisi kuzuia uzinduzi wa tawi la chama cha demokrasi ma maendeleo chadema katika kijiji cha Nyororo wilayani Mufindi mkoani Iringa.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.