Header Ads

Breaking News
recent

SERIKALI YAWEKA KITUO CHA FORODHA KUDHIBITI MPAKA KATI YA TANZANIA NA BURUNDI.

Asili Yetu © All rights reserved



Serikali katika wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, imeweka kituo cha forodha na ukaguzi katika mpaka wa Tanzania na Burundi katika kijiji cha Mkarazi tarafa ya Mabamba kutokana na wafanyabiashara kukwepa kodi, wageni kuingia bila udhibiti na kushamiri kwa biasharara ya silaha kutokana na udhibiti mdogo katika eneo hilo.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.