Header Ads

Breaking News
recent

ASILI YETU BLOG: MAADHIMISHO YA MIAKA 17 YA KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU YAFANYIKA ARUSHA.

Asili Yetu © All rights reserved

WANASHERIA, MAWAKILI NA WAFANYAKAZI
Wanasheria, mawakili na wafanyakazi wa kituo cha haki za binadamu wakiongozwa na jaji Aisha Nyerere wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha miaka 17 ya kuanzishwa kwa kituo cha sheria na haki za binadamu. 
Maadhimisho hayo yaliyobebwa na kauli mbiu isemayo "kuwalinda na kuwatetea watetezi wa haki za binadamu Tanzania ni wajibu wetu sisi",maadhimisho yamefanyikia mjini arusha.


No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.