Header Ads

Breaking News
recent

BI. KIDUDE AZUSHIWA KIFO LEO ASUBUHI (Yuko mahututi).

Asili Yetu © All rights reserved



Asubuhi ya leo kumezagaa taarifa kuwa mwanamuziki mkongwe wa Taarab wa  Zanzibar, Bi. Kidude amefariki dunia. Radio ya Zenji FM ya visiwani humo nayo ilitangaza kifo chake. Lakini kutokana na vyanzo mbalimbali vya uhakika akiwemo mjukuu wake, Bi. Kidude bado yupo hai japokuwa yuko mahututi.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.