Header Ads

Breaking News
recent

MTOTO WA JAY Z "BLUE IVY" MARA YA KWANZA KUPANDA HELIKOPTA.

Asili Yetu © All rights reserved


 Hii ni mara ya kwanza kwa mtoto wa mastaa wawili yani Jay Z na Beyonce kuonekana amebebwa hadharani wakati akitua katika mji wa New York kwapa Helikopta.
Blue Ivy mwenye miezi 7 alionekana amefichwa katika kifua cha baba yake huku akiwa amevalishwa kifaa cha kuzuia sauti masikioni.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.