Header Ads

Breaking News
recent

MAANDAMANO YATOKEA LEO MJINI ARUSHA.

All rights reserved to Asili Yetu.

Wananchi wa Mirongoine na wale wa Moshono hapa Arusha wakiwa na mabango yao mbele ya ofisi ya mkuu wa Mkoa wa Arusha leo wakati wa maandamano hayo.
Hawa ni baadhi ya waandishi wa habali waliokuwa katika tukio hilo, wakijaribu kudodosa ukweli wa mambo.
Hali leo Arusha katika ofisi ya Mkuu wa mkoa ndivyo ilivyokuwa.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.