Friday, June 13 2025

Header Ads

Breaking News
recent

PICHA ZA ASILI YETU blog KWA WIKI HII.

All rights reserved by Victor Machota.


Hapa ni maeneo ya kuelekea Shopprite Arusha.

Hapa ni maeneo ya Metro pole Arusha.

Mdau wa Asili Yetu blog kutoka Radio 5 Arusha anaitwa Geoffrey Stiven, wakati mfupi baada ya kushuka katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro.

Hapa ni Kilimanjaro Internationa Airport wakati nimetua pale mida ya Asubuhi hivi.

Pancras Mayala a.k.a Dj Askof kutoka Mtwara, akiwa ameshine na pamba za Asili Yetu blog.Hapa alikuwa pande flani za jiji la Dar es salaam akila bata wakati wa mapumziko.

"Samtimber" producer wa Fnouk record ilioko Njiro Arusha, hapa nilienda kumfanyia interview kuhusiana na muziki, kwaajiri ya kipindi cha radio.

Sikusita kushine na camera ya "Asili Yetu blog", kwasababu mie ndo muwezeshaji mkuu.Kama unahitaji kung'aa na Asili Yetu blog, basi tuma picha yako kwenye e-mail ya swazzyking@yahoo.com.

Gadiola mwenye t shirt nyeusi ambae pia ni mmiliki wa blog ya "Wazalendo25" akiwa na Harry wa website ya "Arusha schools" kila mmoja akiwa busy kupublish habari katika site yake kwaajiri ya wasomaji.

Gadilola wa blog ya "Wazalendo25" akiwa busy katika kuwasiliana na watu wa matangazo kwaajiri ya blog yake.

Leave a Comment

Powered by Blogger.