Monday, August 18 2025

Header Ads

Breaking News
recent

MSANII MR. FLAVOUR AMEMVISHA PETE YA UCHUMBA BEVERLY HEELS NA KUWA MKE MTARAJIWA.

All rights reserved by Victor Machota.


Mr. Flavour
Huyu ndiye "Beverly Heels"mchumba wa msanii Mr. Flavour kutoka Nigeria.
Mwaka huu wasanii kutoka Nigeria wameamua kuuaga ukapela kwa design flani hivi.Kwa habari zilizopo, msanii maarufu  kutoka Nigeria anayefahamika kama "Chinedu Okoli" a.k.a Mr. Flavour amefumba macho kutokana na kupendwa na wadada wengi kimahusiano lakini Flavour amemvisha pete ya uchumba mwanadada ambaye pia ni mwana muziki mnigeria anayeishi Marekani anayefahamika kama Beverly Heels (a.k.a B.Heels)

Habari hizi zimethibitishwa na meneja wa msanii Flavour bwana Benjamin kuwa wawili hao wanajiandaa kuwa mke na mume soon!!

Leave a Comment

Powered by Blogger.