Picha za Beyonce zawavutia watu wengi
Msanii Beyonce,36, amekuwa akitupia picha kupitia
mtandao wake wa Instagram ambapo ana follower milioni 108, huku
zikionekana kuwavutia watu wengi zaidi mpaka baadhi ya vidume wakitamani
kuipata nafasi ya Jay Z kwa mrembo huyo.
Mrembo huyo amefanikiwa kupata watoto wa tatu na Jay Z, akiwemo Blue Ivy na mapacha wao Sir na Rumi Carter.
Mrembo huyo amefanikiwa kupata watoto wa tatu na Jay Z, akiwemo Blue Ivy na mapacha wao Sir na Rumi Carter.
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA