Movie mpya za Kihindi wiki hii
November,10th 2017 kama weweni ni shabiki mzuri wa filamu za kihindi, basi ufahamu kwamba kuna mizigo miwili itashuka, hivyo weka macho yako tayari tayari. Movie ya kwanza inaitwa Qarib Qarib Singlle, Imechezwa na Irrfan Khan, Parvathy>>>
Director: Tanuja Chandra
Ya pili ni Shaadi Mein Zaroor Aana
Imechezwa na Rajkummar Rao, Kriti Kharbanda na wengineo.
Director: Vinod Bachchan
PAKUA NYIMBO ZILIZOTOKA WIKI HII>>>DOWNLOAD
SUBSCRIBE YouTube account yetu upate video zaidi.
Kupata Update kibao, like Facebook account yetu.
Twitter Account yetu>>>Asili Yetu Tanzania
SUBSCRIBE YouTube account yetu upate video zaidi.
Kupata Update kibao, like Facebook account yetu.
Twitter Account yetu>>>Asili Yetu Tanzania
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA