Header Ads

Breaking News
recent

Wanawake 19 Matajiri zaidi duniani

Mfaransa Liliane Bettencourt, 94, wa maduka ya bidhaa za urembo L'Oreal, alikuwa ndiye mwanamke tajiri zaidi duniani akiwa na mali ya $39.5bn. Alirithi biashara hiyo.

Lakini alifariki dunia mwezi uliopita. Sasa ni nani mwanamke tajiri zaidi duniani kwa mwaka 2017? Tazama orodha hiyo hapo chini>>>

1. Alice Walton - $33.8bn
Utajiri: Wal-Mart
2. Jacqueline Mars - $27bn
Chanzo cha Utajiri: Pipi
3. Maria Franca Fissolo - $25.2bn
Chanzo cha Utajiri: Nutella, chokoleti
4. Susanne Klatten - $20.4bn
Chanzo cha Utajiri: BMW, dawa
5. Laurene Powell Jobs - $20bn
Chanzo cha Utajiri: Apple, Disney

6. Gina Ronehart - $15bn

 Chanzo cha Utajiri: Uchimbaji madini
 7. Abigail Johnson - $14.4bn
Chanzo cha Utajiri: Usimamizi wa fedha
8. Iris Fontbona - $13.7bn
Chanzo cha Utajiri: Uchimbaji madini
9. Beate Hesiter - $13.6bn
Chanzo cha Utajiri: Maduka ya jumla
10. Charlene de Carvalho-Heineken - $12.6bn
Chanzo cha Utajiri: Heineken
11. Blair Parry-Okeden - $12.2bn
Chanzo cha Utajiri: Vyumba vya habari
12. Massimiliana Landini Aleotti - $9.5bn
Chanzo cha Utajiri: Dawa
13. Yang Huiyan - $9bn
Chanzo cha Utajiri: Biashara ya nyumba na ardhi
14. Katharine Rayner - $8.1bn
Chanzo cha Utajiri: Vyumba vya habari
15. Margaretta Taylor- $8.1bn
Chanzo cha Utajiri: Vyumba vya habari
16. Zhou Qunfei: - $7.4bn
Chanzo cha Utajiri: Skrini za simu za kisasa
17. Pauline MacmMillan Keinath - $6.8bn
Chanzo cha Utajiri: Cargill
18. Sandra Ortega Mera - $6.7bn
Chanzo cha Utajiri: Zara
19. Carrie Perrodo - $6.3bn
Chanzo cha Utajiri: Mafuta
 Source: BBC Swahili 

PAKUA NYIMBO ZILIZOTOKA WIKI HII>>>DOWNLOAD
SUBSCRIBE YouTube account yetu upate video zaidi.

Kupata Update kibao, like Facebook account yetu.
Twitter Account yetu>>>Asili Yetu Tanzania

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.