Header Ads

Breaking News
recent

Ukuta wa kutenganisha Marekani na Mexico waanza kujengwa

Stori zilianza kuenea kwenye vyombo vya habari, kwenye midahalo na hata mitandao ya kijamii pale Rais Donald Trump alipoingia madarakani na kusema, lazima atajenga ukuta wa kutenganisha Marekani na Mexico ili kuzuia uhamiaji haramu na masuala ya madawa ya kulevya kutoka Mexico.

Kauli yenyewe ilikua hivi>>>“I would build a great wall, and nobody builds walls better than me, believe me, and I’ll build them very inexpensively. I will build a great, great wall on our southern border and I’ll have Mexico pay for that wall.”.

Sasa ni takribani miaka miwili toka Rais Trump atamke maneno hayo wakati alipoingia madarakani, sasa kwamujibu wa mtandao wa People.com, ukuta huo umeanza kujengwa huko San Diego nchini Marekani, kama unavyoona kwenye picha.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.