Header Ads

Breaking News
recent

Marekani watu washerehekea siku ya unywaji wa bia 'pombe' kitaifa

Septemba 7 2017 stori zinatoka nchini Marekani ambapo siku ya leo wale wanaopenda kutupia kinywaji aina ya bia, basi wameadhimisha unywaji wa bia kitaifa.
Yes, watu wa kawaida wameweza kuungwa mkono na mastaa wengi nchini Marekani kusherehekea siku hiyo kwa kunywa bia 'pombe' hadharani, mmoja wa watu hao maarufu ni Rais mstaafu wa Marekani Barack Obama, muimbaji wa zamani wa kundi la One Direction ambaye sasa ni solo artist, Lady Gaga, muigizaji Matthew McConaughey, na Rihanna hawa wakiwa ni wachache tu, wapo wengi. 

Wapo mastaa kibao ambao wameonekana kusherekea siku hii kwa kunywa bia hadharani, mmoja wapo akiwa ni msanii Justin Bieber, Taylor Swift, Beyonce, JAY-Z, na David Beckham.

Endelea kufuatilia dondoo kibao za KITOFAUTI duniani kupitia blog yetu ya ASILI YETU TANZANIA. Pia subscribe You Tube account yetu  kupata update kibao. 

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.