Header Ads

Breaking News
recent

MAHUSIANO: Usione Aibu Ongea na Mwenzi wako kuhusu Kutumia Kondomu na Uzazi wa Mpango


Urafiki wa Mahusiano ya mapenzi ni jambo ambalo limezoeleka  duniani kote, lakini mahusiano haya yasipokuwa na upeo na kuchukuliana kwa umakini, huleta huzuni baadae.

Siku hizi kuingia katika mahusiano ni jambo rahisi sana, lakini je wewe na mwenzi wako kabla ya kuingia kwenye ndoa na mnapojamiiana hutumia kinga ipasavyo?

Endapo unampango wa kujamiiana na mwenzi wako, ni vyema mkapanga jinsi ya kuepuka ujauzito usio rasmi na magonjwa ya zinaa na mengineyo.

Lakini tambua kuwa kutumia kondomu na njia nyingine za uzazi wa mpango ni njia nzuri zaidi.

#JITAMBUE, Baki Njia Kuu

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.