Header Ads

Breaking News
recent

Rais Mtaafu Dkt. Jakaya Kikwetu na Mkewe Salma Kikwete wakiwa shambani wakati wa mavuno.

Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amekuwa ni mmoja ya viongozi wapenda kilimo na wenye kuonesha mfano katika kilimo.
Hii ni baada ya kushare picha mara kwa mara akiwa  katika mashamba yake ya mahindi na zabibu.
Dkt Kikwete kupitia ukurasa wake wa Tweeter amepost picha akiwa na mke wake Bi Salma Kikwete wakionekana wakivuna zao hilo la mahindi na kuandika>>> "Tunakamilisha msimu wa mavuno kijijini Msoga, Chalinze. Umekuwa msimu mzuri".
Dkt Kikwete na mkewe wakifurahia mavuno
Endelea kufuatilia dondoo kibao za KITOFAUTI duniani kupitia blog yetu ya ASILI YETU TANZANIA. Pia subscribe You Tube account yetu  kupata update kibao. 

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.