Msanii Dogo Mfaume afariki dunia.
Akiongea na EATV Pili Missana ambaye ni Mkurugenzi wa kituo cha "Back to Life Sober House" amethibitisha kufariki kwa msanii huyo huku akisema alikuwa amelazwa Muhimbili kwa matibabu, kabla ya umauti kumkuta.
Mungu amlaze mahali pema peponi Dogo Mfaume. Jikumbushe na moja ya kazi yake hapo chini...(Chanzo: EATV)
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA