Tuesday, August 12 2025

Header Ads

PICHA: DIAMOND PLATNUMZ ACHUKUA TUZO SABA ZA KILIMANJARO TANZANIA MUSIC 2014.

Diamond na Wema wakifuatilia mashindano hayo.
Msanii wa kizazi kipya, Nasib Abdul a.k.a Diamond Platinumz menyakua tuzo zote saba katika category alizokuwa amechaguliwa....

Msanii Bora wa Kiume,
Video Bora ya Mwaka.
Mtumbuizaji bora wa Muziki wa Kiume.
Wimbo Bora wa Afro Pop.
Wimbo Bora wa Mwaka.
Mtunzi Bora wa mwaka Kizazi Kipya.
Wimbo Bora wa Kushirikisha/Kushirikiana.

Leave a Comment

Powered by Blogger.