Katika Jarida maarufu duniani la "Peole Magazine" Lupita Nyong'o aliyeonekana kung'ara kwa mwaka 2014 hasa pale alipochukua tuzo ya Oscar, sasa atajwa kama "mwanamke mrembo" zaidi kwa mwaka 2014.
PICHA: LUPITA NYONG'O ATAJWA NA "PEOPLE MAGAZINE" KAMA MWANAMKE MREMBO ZAIDI KWA MWAKA 2014.
Reviewed by KISHINDO TZ
on
Thursday, April 24, 2014
Rating: 5
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA