Msanii wa muziki ya kizazi kipya hapa nchini maarufu kama CPWAA, hivi karibuni ataachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la "Chereko Chereko". Hivyo mashabiki wake kaeni mkao wa kupakua ngoma mpya mwanzoni mwa mwezi October.
CPWAA KUACHIA WIMBO WAKE MPYA UNAOITWA "CHEREKO CHEREKO".
Reviewed by KISHINDO TZ
on
Wednesday, September 25, 2013
Rating: 5
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA