WANAJESHI 7 WA JWTZ WAFARIKI KWA SHAMBULIO LA WAASI SUDAN.
Askari saba wa jeshi la wananchi wa Tanzania wameuwawa huku wengine 14
wakijeruhiwa akiwemo askari polisi mmoja baada ya msafara wa wanajeshi
36 wa kikosi cha kulinda amani kilichopo Darfur nchini Sudani
kushambuliwa ghafla na kikundi cha waasi nchini humo.
Chanzo Cha Habari: ITV TANZANIA
Chanzo Cha Habari: ITV TANZANIA
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA