Header Ads

Breaking News
recent

PICHA ZA VURUGU ZA MABOMU ARUSHA - HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA.

 Jeshi la Polisi jijini Arusha Limetawanya wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA waliokuwa wamekusanyika katika uwanja wa soweto kuiaga miili ya watu waliofariki kutokana na mlipuko uliotokea mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Soweto.


Leo jijini Arusha kuliibuka taflani ambapo mabomu ya machozi yalitandikwa kwa wingi katika maeneo ya mjini na Soweto, kitu kilichosababisha watu kusitisha shughuli zao na kuhofia usalama wao. Pichani baadhi tu ya sehemu ya vurugu maeneo ya Mianzini. Hapa ni maeneo ya Mianzini (Picha na Thomas Adam).

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.