Header Ads

Breaking News
recent

PICHA: HATIMAE MAZISHI YA MSANII LANGA KILEO YAMALIZIKA

Ndugu,jamaa,marafiki na wasanii wakiwa kwenye mazishi ya rapper Langa Kileo aliyefariki wiki iliyopita katika hospital ya muhimbili jijini Dar es Salaam.

Langa alizikwa jana kwenye makaburi ya kinondoni ambapo mazishi yake yaliongozwa na wazazi wake wawili Mr & Mrs Kileo.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.