Kufuatia kifo cha rapper mahiri Albert Mangwea, wasanii wengi wameamua
kuahirisha shughuli zao walizopanga kuzifanya hivi karibu ikiwa ni pamoja
na show kubwa za Mwana FA ‘The Finest’ na ile ya Lady Jay Dee ‘Miaka 13 ya
Lady Jaydee’ ambazo zilipangwa kufanyika May 31 mwezi huu.
****May his Souls Rest in Eternal Peace, Amen..! ****
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA