Header Ads

Breaking News
recent

ITV HABARI: NAULI ZA DALADALA ZAPANDA KWA ZAIDI YA 24%, MABASI YA MIKOANI 13%.

Mamlaka ya udhibiti usafiri wa nchi kavu na majini SUMATRA imepandisha nauli za daladala kwa zaidi ya asilimia 24 huku mabasi ya kwenda mikoani nauli yake ikipanda kwa kati ya asilimia 13 hadi 20 kwa mabasi ya daraja la juu ambapo bei hizo mpya zitaanza rasmi Aprili 12 mwaka huu.

Source: ITV TANZANIA

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.