LADY YOO - "SI KWAMBA" NI WIMBO WAKE MPYA KUTOKA ARUSHA.
Mwanadada Yolanda aka Lady yoo ana mengi sana mwaka huu 2013 kwa maana
FemCee huyu anaewakilisha vema pande za Sanawari arachuga amekwisha
kamilisha collabo track mpya na msanii "YungOmega" wa river camp
soldiers katika pini litakalo toka baadae mwezi wa nne liitwalo "kivipi".
Kwa sasa Lady Yoo anakupa kazi yake mpya kabisa toka www.noizmekah.com ambayo ni release ya pili muundo wa hiphop concious track inaitwa "Si Kwamba" download HAPA na kwa mahojiano zaidi piga simu nambari +255 655 394 470
Kwa sasa Lady Yoo anakupa kazi yake mpya kabisa toka www.noizmekah.com ambayo ni release ya pili muundo wa hiphop concious track inaitwa "Si Kwamba" download HAPA na kwa mahojiano zaidi piga simu nambari +255 655 394 470
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA