Header Ads

Breaking News
recent

ITV HABARI: MBUNGE WA CHAMBANI, MHE SALM H. KHAMIS AFARIKI DUNIA KATIKA HOSPITAL YA MUHIMBILI

Mbunge wa Chambani , Pemba, Mhe. Salim Hemed Khamis kupitia chama cha wananchi CUF amefariki dunian katika hospitali ya taifa Muhimbili ikiwa ni siku moja tangu alipokimbizwa hospitalini hapo baada ya kuanguka ghafla wakati akiwa katika vikao vya kamati za bunge.

Source: ITV TANZANIA

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.