Header Ads

Breaking News
recent

"DULLAH" MTANGAZAJI WA KIPINDI CHA PLANET BONGO CHA "EATV" APATA AJALI YA GARI.

 
Mtangazaji wa kipindi cha Planet Bongo Abdallah Ambua (Dullah) ambaye kwa bahati mbaya leo asubuhi wakati anaelekea kazini kufanya kipindi amepata ajali ya gari. 

Abdallah amesema amepata ajali hiyo akiwa maeneo ya Magomeni katika mataa lakini yeye anaendelea vizuri ila tu gari yako ndo imeharibika vibaya.
Pole sana mjukuu wa Ambua kwa kupata ajali.

Stori kupitia ukurasa wa East Africa Radio - Facebook.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.